iko poa kwani mimi nimesoma hiyon nilichaguliwa kigonsera songea nikahamia Njos sasa hivi nipo udsm mwaka wa mwisho,huyo kwa udsm degree yeyote anaichukua kwenye college ya natural and applied sciences,,,shule za nzuri gvt ni njos,kibaha,na zingine wataongezea wadau kwni yeye alijaza shule gani na amepata daraja gani ili tuchambue kidogo.