Jamani hii ni serious issu naombeni msaada kwa yoyote anaeijua shule nzuri inayofaulisha sana wanafunzi wa masomo ya sayansi advance mkoani Mbeya please ni serious utani majungu yakaushie.
Mbeya bado wana shida ktk shule za private kwa masomo ya sayansi.
Kama unataka PCM nenda Panda Hill sec lkn kama ni PCB au CBG kuna shule mbili na ambazo ki ukweli performance yao ni poor ambazo ni Meta sec na Mlima Mbeya Sec.
hizo ndo shule pekee ninazo zifaham za private kwa masomo ya sayansi mbeya mjini, kuhusu wilaya zake ngoja waje wajuzi zaid
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.