Smarter
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 527
- 110
Greetings,
Kuna Ofisi inafanya kazi ya Kukopa (interest 15%) na Kukopesha (kwa 20%).
Nataka kuikopesha hii kampuni. But ningependa nifanye hili legally. Je ni kivipi ninaweza kuji weka safe katika hili?, Wao wana mkataba ambao wakopeshaji wana sign bt ningependa nifanye hili more professionally,
Kwakuwa mwenye kampuni ndie signatory, and what if akifa, wakati sijapata pesa zangu back?
Naomba ushauri mfano ni documents zipi naweza jadili nae, ambazo zitaniweka safe hata akiondoka, or something of the like.
Natanguliza shukrani.
Kuna Ofisi inafanya kazi ya Kukopa (interest 15%) na Kukopesha (kwa 20%).
Nataka kuikopesha hii kampuni. But ningependa nifanye hili legally. Je ni kivipi ninaweza kuji weka safe katika hili?, Wao wana mkataba ambao wakopeshaji wana sign bt ningependa nifanye hili more professionally,
Kwakuwa mwenye kampuni ndie signatory, and what if akifa, wakati sijapata pesa zangu back?
Naomba ushauri mfano ni documents zipi naweza jadili nae, ambazo zitaniweka safe hata akiondoka, or something of the like.
Natanguliza shukrani.