Msaada:Sehemu ya kula biriani kesho au vyakula dsm

Msaada:Sehemu ya kula biriani kesho au vyakula dsm

Visacard

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2017
Posts
233
Reaction score
218
Guys nisaidieni sehemu wanapouza biriani nzuri kwa dsm kwa siku ya kesho jumatano

Sio biriani tu au panauzwa pilau au michemsho ya samaki au nyama za mbuz ngombe au kuku

Ila pawe bei za kawaida za kati yaani bei ya sahani ianzie elfu 3 , elfu 4 hadi elfu 5 kwa sahani km ni kisinia basi isizidi elfu 15

Guys maeneo km haya itapendeza zaid....Magomeni, kinondon, k.koo na kigamboni...

Pls

Ila priority yangu ni biriani ikikosekana bas hizo second option mniambie
 
Nenda sinza kwa mr kuku kesho kuna mandi na biriani mwaya kula uenjoy
 
Guys nisaidieni sehemu wanapouza biriani nzuri kwa dsm kwa siku ya kesho jumatano

Sio biriani tu au panauzwa pilau au michemsho ya samaki au nyama za mbuz ngombe au kuku

Ila pawe bei za kawaida za kati yaani bei ya sahani ianzie elfu 3 , elfu 4 hadi elfu 5 kwa sahani km ni kisinia basi isizidi elfu 15

Guys maeneo km haya itapendeza zaid....Magomeni, kinondon, k.koo na kigamboni...

Pls

Ila priority yangu ni biriani ikikosekana bas hizo second option mniambie
Nenda Butiama magomeni mapipa
 
Guys nisaidieni sehemu wanapouza biriani nzuri kwa dsm kwa siku ya kesho jumatano

Sio biriani tu au panauzwa pilau au michemsho ya samaki au nyama za mbuz ngombe au kuku

Ila pawe bei za kawaida za kati yaani bei ya sahani ianzie elfu 3 , elfu 4 hadi elfu 5 kwa sahani km ni kisinia basi isizidi elfu 15

Guys maeneo km haya itapendeza zaid....Magomeni, kinondon, k.koo na kigamboni...

Pls

Ila priority yangu ni biriani ikikosekana bas hizo second option mniambie
Nenda nebrela meal point kinondoni

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Guys nisaidieni sehemu wanapouza biriani nzuri kwa dsm kwa siku ya kesho jumatano

Sio biriani tu au panauzwa pilau au michemsho ya samaki au nyama za mbuz ngombe au kuku

Ila pawe bei za kawaida za kati yaani bei ya sahani ianzie elfu 3 , elfu 4 hadi elfu 5 kwa sahani km ni kisinia basi isizidi elfu 15

Guys maeneo km haya itapendeza zaid....Magomeni, kinondon, k.koo na kigamboni...

Pls

Ila priority yangu ni biriani ikikosekana bas hizo second option mniambie
Nenda marry brown Masaki
 
Pesa yote hiyo kwani ukila zako wali maharage na juice 3000 hiyo nyingine unasave ununue matofali jamani tena tofali 1@1000 hiyo 12000 si matofali 12 hayo haya😂😂
 
Kwa selebonge
Kwa eshabueti
Sele limebaki jina tu hamna kitu, alipika biriani miaka ya nyuma lakini sasa hivi ana mfanano wa biriani, anauzia jina kwa sasa.
Esha ana mkono, chakula kitamu sana.
Aende Sinza kwa Da huu mahanjumati.
 
Back
Top Bottom