Mkuu niende mpaka fire tena boss mi nlitaka msaada wa wakala aliye temeke au mbagalaKujaza fire extinguisher nenda fire. Wanatoa huduma hizo na pia kuna mawakala waliosajiriwa kufanya kazi hizo. Kwa temeke na kwingineko Fire watakuelekeza wakala aliye jirani nawe
Naweza pata majina ya hizo kampuni boss especialy temeke au mbagala?wasiliana na zimamoto kuna kampuni wamezipitisha kufanya service mitungi ya kuzimia moto.
Naweza pata majina ya hizo kampuni boss especialy temeke au mbagala?
hiyo fire eksitingisha ilitumikaje mpaka ikaisha.? au ulizimia kibatari chako getto..!
Ok bossPiga namba 114 fire and rescue team ni bure kabisa watakupa maelekezo.