Msaada - sceen display ya laptop inatetema

Msaada - sceen display ya laptop inatetema

Ms mashaba

Member
Joined
Dec 28, 2011
Posts
43
Reaction score
4
Jameni wandugu naombeni msaada, screen display ya hii laptop haijatulia kabisa. Maandishi yanatetemeka mpaka wakati mwingine screen inakuwa nyeupe kabisa. Je tatizo laweza kuwa nini?
 
Jameni wandugu naombeni msaada, screen display ya hii laptop haijatulia kabisa. Maandishi yanatetemeka mpaka wakati mwingine screen inakuwa nyeupe kabisa. Je tatizo laweza kuwa nini?

Mara ya mwisho uliidondosha lini?Haikukandamizwa na kitu chochote au uliigonga sehemu?
Vitu vingi vinaweza changia tatizo hilo,jaribu kutoa RAM then uirudishe inawezekana kuna hardware issue.
 
Jameni wandugu naombeni msaada, screen display ya hii laptop haijatulia kabisa. Maandishi yanatetemeka mpaka wakati mwingine screen inakuwa nyeupe kabisa. Je tatizo laweza kuwa nini?

Hapo tatzo ni hardware ambapo possibly inaweza kua ni Mkanda wa Display ambao usually huwa'affected by Mgandamizo au Kubamizwa, so waone Mafundi wa Hardware Watarekebisha fresh..
 
Back
Top Bottom