Sema unataka kujiunga na program gani na ufaulu wako ukoje kwa kila somo ili upate ushauri mzuri. Kwa ujumla vyuo huwa wana angalia ufaulu kwenye masomo husika na si division hata kama division ina uhusiano na ufaulu kwa kila somo.Naomba kuuliza safi za mtu aliyemaliza form six na kupata div 3 mwaka 2016 kujiunga na open university inakuwaje??