EFATHA umechelewa. Wenye Nchi washaiweka under Mufilisi. Ombeni Mungu sana mlipwe stahiki zenuAisee mimi nataka kuvunja mkataba na Efatha niwawahi kabla hawajasepa
Aisee naziona hapa kwa SIM Banking nimefanikiwa kuhamishia kwa MPESA sijui jamaa wamelala, ngoja nizivushe mtandao wa pili halafu nikazitumbue kesho asubuhi. Hizo za fixed deposit basi nimewatolea sadaka😡😡😡EFATHA umechelewa. Wenye Nchi washaiweka under Mufilisi. Ombeni Mungu sana mlipwe stahiki zenu
Aisee mimi nataka kuvunja mkataba na Efatha niwawahi kabla hawajasepa
Msaada pia, vp naweza kufungua fixed account kwa miez sita niweke pesa kwa malengo???
Asnte mkuu, kuna biznec nimeanzisha nikua na wazo la kufungua account niwe naweka pesa daily kwa lengo la miez 6Ndio inawezekana mkuu,,hata kwa miezi kumi n.a. mbili,, Ila wanatoa faida ndogo sana
Weka kwenye simu yako mkuuu sasa iv pesa ni mpesaAsnte mkuu, kuna biznec nimeanzisha nikua na wazo la kufungua account niwe naweka pesa daily kwa lengo la miez 6
ILA siumesikia lakini ukiwa na milioni Kumi bank ikifirisika unapewa 1.5, mimi nna laini mbili za voda moja ya Tigo, ,kila moja nimeweka M.5 . nimezitoa toka bank moja ya kawaida,, maana nimeingiwa hofu, naona Ngosha kahamua kuzama mpaka kwenye vibubu kutusomesha nambaAsnte mkuu, kuna biznec nimeanzisha nikua na wazo la kufungua account niwe naweka pesa daily kwa lengo la miez 6