M Mangii Member May 3, 2012 52 3 Dec 3, 2013 #1 Habari wanajamii nina tatizo kwenye uume wangu kunakuwa na maumivu kwa mbali hasa karibia na tundu la kutolea mkojo je?inaweza kuwa tatizo gan kwa anayefahamu anisaidie plz tatizo limeaanza jana
Habari wanajamii nina tatizo kwenye uume wangu kunakuwa na maumivu kwa mbali hasa karibia na tundu la kutolea mkojo je?inaweza kuwa tatizo gan kwa anayefahamu anisaidie plz tatizo limeaanza jana
King’asti Platinum Member Nov 26, 2009 27,823 24,797 Dec 3, 2013 #2 Nenda hospitali bwana. Hapo lazma uchunguliwe tu