Jamani namimi nimekuwa natafuta nikaambiwa aina hiyo aliyoitaja mwenzangu ndiyo nzuri
Jamani mbona ghali sana? Je haitapatikana medium size ambayo na bei inaweza kuwa nusu ya hiyo bei?
Nisaidieni na mimi jamani sina hela 2. million wapendwa biashara yangu bado ndogo sana
Nijibuni siwezi pata MEDIUM SIZE?