Msaada PC yangu haitaki kuwaka, imestuck

Msaada PC yangu haitaki kuwaka, imestuck

INSIDER MAN

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2018
Posts
2,057
Reaction score
20,918
Wakuu salama?

Jana usiku nilikua natumia pc kwenye xcell sasa nikaifunga bila kuizima kwa muda ndo jadi yangu. Baada ya dk20 nikaifungua niendelee nakazi nikakuta imestuck, ikabd niiforce kuizima matokeo yake ndo kama haya.

IMG_0380.jpg

673058F2-55FA-452C-A010-0A55DAC93AB6.jpg

IMG_0371.jpg


Sahvi ndo inaandika diagnosing your pc ni kama saa tayar haiendelei wala nini, naombeni kautalamu bandugu.
 
BLUE SCREEN OF DEATH!! Subiri imalize hiyo automatic repair itawaka, mara nyingi huwa ni tatizo la BIOS
 
Huwa sometimes linajirudia rudia, kama haitakuja automatic repair......kuna some function waweza google kulingana na model ya PC yako

Ila kwa HP mara nyingi huwa ni WIN key + M + Power button unahold wakati unawasha kama kwa 6 secs then utaiacha kwa kama 45 SECS then itajiwasha yenyewe
 
Hapo windows imecorrupt fanya reinstallation bila kufuta vitu, baada ya hapo utavikuta vitu vyako, na kufuta windows ya zamani kwa clean up. Lakini hakikisha ulikuwa na free space atleast 20GB.
 
Hapo windows imecorrupt fanya reinstallation bila kufuta vitu, baada ya hapo utavikuta vitu vyako, na kufuta windows ya zamani kwa clean up. Lakini hakikisha ulikuwa na free space atleast 20GB.

Ahsante mkuu
 
Huwa sometimes linajirudia rudia,kama haitakuja automatic repair......kuna somefunction waweza google kulingana na model ya pc yako
ila kwa HP mara nyingi huwa ni WIN key + M + Power button unahold wakati unawasha kama kwa 6 secs then utaiacha kwa kama 45SECS then itajiwasha yenyewe

Hii njia inasaidia nn mkuu
 
HDD inakaribia kufa, tafuta nyingine na ufanye backup faster kama una mafile muhimu.

Zinaanzaga kuwa slow na hata ukiinstall windows tena tatizo litajirudia tena na tena mpaka inastuck milele na hutoweza kufanya chochote then unafanya screpa tu.
Au scan hdd.
 
Back
Top Bottom