Msaada olas

mamu kawambwa

New Member
Joined
Sep 1, 2015
Posts
4
Reaction score
0
wakuu nikilog in kwenye profile yangu ya bodi ya mikopo inagoma kufunguka.. kuna tatizo au? msaada tafadhali
 
Mhh....?
Kwahyo ulikuwa unalogin na kulog out mara ya kwanza bila tatizo lolote c ndivyo mkuu...??

Huyu jamaa ni kuziii kwelikwli kuna mijitu mingine Dunia hii sijui imerogwaa....?
Asa kwenye profile yako ya bodi ya mikopo alikuwa anafata nn??muda bado wanaambiwa wasubiri official announcement hayasikii kazi kiherehere tuuu.

Nna wasiwasi na IQ za watanzania wenzangu.
 

Hahahaaaaaaaaa
Mkuu unafraisha

Mayb anayo idea ya tofauti, co mbaya kumckiliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…