Msaada: Ofisi za NSSF Ilala

Msaada: Ofisi za NSSF Ilala

Asante

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2009
Posts
2,086
Reaction score
1,082
Naomba msaada kwa yeyote mwenye kujua mahali zilipohamishiwa ofisi za NSSF Ilala.
 
Mkuu naona tangu umepost thread yako watu wana view inaoneka hakuna anayejua au hawataki kukuelekeza kama unauliza Ilala najua upo hapa Dar, sas wewe hebu jitose nenda pale Posta ya mpya ukiwa ktk kituo cha daladala angalia ng'ambo ya pili utaliona jengo refu linaitwa BENJAMIN MKAPA TOWER nenda hadi gorofa ya saba kuna Ofisi za NSSF Makao Makuu unaweza ukasaidiwa na kuelekezwa zilipo Ofisi zao Ilala, kama unajali
 
Ok Mkuu tembelea Uhuru Road Opp Ilala Boma utakuta Ofisi zao Mafao House
au waweza wasiliana nao
P. O Box 19140
au piga 0754 200 300 piga muda wa kazi tu
 
Back
Top Bottom