Msaada: Not registered on network (Samsung)

Msaada: Not registered on network (Samsung)

kingkongtz

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2019
Posts
1,059
Reaction score
3,646
Wakuu kwema,

Nina samsung a20s nimeitumia kama miez 3 sasa nikaona niireset ianze upya tena coz ilikuw na vitu vingi

Sasa kimbembe kimekuja baada ya kereset, haisomi laini inaandika emergency

Nikaipeleka kwa dogo mmoja akaiflash kwa kuiwekea firmware nyingne kwa kutumia odin lakn tatzo bado liko pale pale

Mwenye uelewa na hili anaweza nisaidia

Natanguliza shukran.
 
wakuu kwema

nina samsung a20s nimeitumia kama miez 3 sasa nikaona niireset ianze upya tena coz ilikuw na vitu vingi

sasa kimbembe kimekuja baada ya kereset, haisomi laini inaandika emergency

nikaipeleka kwa dogo mmoja akaiflash kwa kuiwekea firmware nyingne kwa kutumia odin lakn tatzo bado liko pale pale


mwenye uelewa na hili anaweza nisaidia

natanguliza shukran.
*#0011# afu picha lete apa ama unaweza kuangalia mwenyewe kama sehem iliyoandikwa cert ipo NG au FAIL tafuta z3x fanya patch cert itakaa sawa kama utashindwa uje tukutafutie utatuzi ss
 
*#0011# afu picha lete apa ama unaweza kuangalia mwenyewe kama sehem iliyoandikwa cert ipo NG au FAIL tafuta z3x fanya patch cert itakaa sawa kama utashindwa uje tukutafutie utatuzi ss
ipo hivi
Screenshot_20220630-160851_Service%20mode%20RIL.jpg
Screenshot_20220630-160859_Service%20mode%20RIL.jpg
 
Ugonjwa wa a20s huwa ni kufa kwa network ic, kama bado haujatibu tatizo lako tuwasiliane PM ila matengenezo yake yana gharama kiasi.
 
*#0011# afu picha lete apa ama unaweza kuangalia mwenyewe kama sehem iliyoandikwa cert ipo NG au FAIL tafuta z3x fanya patch cert itakaa sawa kama utashindwa uje tukutafutie utatuzi ss
A20s haina option ya kupatch.
 
Back
Top Bottom