Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,137
- 27,088
Toka jana nashindwa kubrowse, application zote hazifunguki na configuration zimepotea zote....pia nashindwa kusoma text, ninapojaribu kusoma simu inazima na kuacha mwanga mweupe...naombeni msaada wenu, tatizo laweza kuwa nini na inaweza ikapona?
samahani model ni>>>nokia 2300 classic v09.97 18-06-10
samahani model ni>>>nokia 2300 classic v09.97 18-06-10