Msaada: Nokia 6300 inanipasua kichwa.......

Lavit

JF-Expert Member
May 16, 2011
13,137
27,088
Toka jana nashindwa kubrowse, application zote hazifunguki na configuration zimepotea zote....pia nashindwa kusoma text, ninapojaribu kusoma simu inazima na kuacha mwanga mweupe...naombeni msaada wenu, tatizo laweza kuwa nini na inaweza ikapona?
samahani model ni>>>nokia 2300 classic v09.97 18-06-10
 
nenda kwa mafundi simu waiflash kishawakuinstall lie software nyengine hiyo imecorrupt..
 
Back
Top Bottom