Wa kwanza leo kupata nafasi.
Saidia sasaWa kwanza leo kupata nafasi.
Angalia imei za simu yako km zinafanana na zilizo nyuma ya simu baada ya kutoa battery ya simu.Saidia sasa
Kwa mtaalamu yeyote wa Android naomba anisaidie namna ya kutatua tatizo hili kwenye simu yangu.
Lilianza kwa line moja ila kwa sasa linasumbua kwa line zote mbili. Simu ni Redmi3S Android version 6.0.1
Natanguliza shukrani
Nimempa fundi, apambane nayo. Nashukuru sana kwa mawazo yenuAngalia imei za simu yako km zinafanana na zilizo nyuma ya simu baada ya kutoa battery ya simu.
Bonyeza *#06#
Kwa shida hiyo flash modem pekee simu yako itapona.Kwa mtaalamu yeyote wa Android naomba anisaidie namna ya kutatua tatizo hili kwenye simu yangu.
Lilianza kwa line moja ila kwa sasa linasumbua kwa line zote mbili. Simu ni Redmi3S Android version 6.0.1
Natanguliza shukrani
Imefungwa hiyo jaribu kunitafuta