Msaada: Njia Bora ya kufuta namba ya X wangu ( ipo kichwani)

Mzee Chapuuka

Member
Apr 21, 2017
97
243
Wakuu niambie njia nzuri ya kuhisahau namba ya demu wangu wa zamani yani Kanisaliti Sitaki kabisa Kuwa na mawasiliano nae kabisa Kwa njia yoyote Ile ,Ila kibaya ni kwamba namba yake nliikariri.NIFANYAJE!??
 
Au uwe una "CHEKI PILAU DAILY ZA UGHAIBUNI " njia hizi zitakusaidia kumsahau huyo kiumbe na hadi kwato zake..
 
Wakuu niambie njia nzuri ya kuhisahau namba ya demu wangu wa zamani yani Kanisaliti Sitaki kabisa Kuwa na mawasiliano nae kabisa Kwa njia yoyote Ile ,Ila kibaya ni kwamba namba yake nliikariri.NIFANYAJE!??
labda uugue uchizi uende milembe ukipona utasahau vingnevyo tafta mwingne ikiwezekana oa na zaa nae mke mpya x wako utamsahau
 
Badilisha namba kama mbili katika hiyo namba alafu ikariri hiyo mpya pia...
Au subiri mpaka upate girfrend mpya
 
Hebu nitumie hiyo namba, kisha niiandike kwenye karatasi. then hiyo karatasi nitaiweka kwenye maji yenye dawa. TATIZO LAKO LITAKWISHA KARATASI.
 
Iyo kitu easy we futa conversation pamoja na number zake tn ikibid mueke blacklist maan anaeza kukupigia akakufanya urudixhe kumbu kumbu kwake km huko fb mblock kabsa yan tengeneza mazngira ya kutopat taarifa zake

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom