ALEGY nahisi
chakula aina fulani umekura
mdudu kakutambaa
maji ambayo umeoga
AU sehemu ulilala kuna wadudu like viroboto kunguni na jamii hiyo
cha kwanza nenda duka la dawa za ALEGY na mchanganyiko wa vijiua sumu
mwanangu akioga maji ya CHUMVI huwa anawashwa na kuwa km hivyo akijikuna
au akila magimbi