Msaada: Nimesahau password za BIOS

Msaada: Nimesahau password za BIOS

Asu tz

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2011
Posts
336
Reaction score
86
habar wakuu
naomba mwenye kufahamu namna ya kuondoa bios password anisaidie coz laptop yangu n dell inspiron 3521msaada jaman nimechanganyikiwa
 
habar wakuu
naomba mwenye kufahamu namna ya kuondoa bios password anisaidie coz laptop yangu n dell inspiron 3521msaada jaman nimechanganyikiwa

badil motherboard
 
Hiyo ni balaa, laptop nyingi hazitoki hizo. Jaribu kuGoogle kuna baadhi unaweza kuzipiga shoti motherboard kutoa hiyo kitu.
 
toa betri kwa muda kidogo kisha rudisha na washa uendelee kutumia.
 
bios password ni rahisi kuondoa kama ni mtaalamu wa motherboard, unachotakiwa kufanya ni ku-remove cmos battery kwa dakika tano then replace it, isipotoka kuna n jumpers kwenye motherboard inabidi uzipigishe shot kwa kutumia conductor, kujua hizo jumper za laptop inabidi uwe na ujuzi wa kusoma circuit, printed circuit board(PCB) Fanya hivyo ukikwama nicheki kwa 0784234391, for my side it very simple because nimeshazitoa nyingi sana.
 
mm nimempa njia rahisi asije akapigisha shoti motheboard hadi processors...... abadili tu motherboard au akumbuke password. hizi laptop za kisasa hata utome cmos ni kazi bure
 
bios password ni rahisi kuondoa kama ni mtaalamu wa motherboard, unachotakiwa kufanya ni ku-remove cmos battery kwa dakika tano then replace it, isipotoka kuna n jumpers kwenye motherboard inabidi uzipigishe shot kwa kutumia conductor, kujua hizo jumper za laptop inabidi uwe na ujuzi wa kusoma circuit, printed circuit board(PCB) Fanya hivyo ukikwama nicheki kwa 0784234391, for my side it very simple because nimeshazitoa nyingi sana.

Hii sio kweli kwa majority ya laptops, CMOS psssword haitoki kwa kuondoa CMOS battery wala kwa jumpers, CMOS password ni kama anti theft feature kwenye laptop kujaribu kupunguza soko la laptop za wizi.
 
Hii sio kweli kwa majority ya
laptops, CMOS psssword haitoki kwa kuondoa CMOS battery wala kwa
jumpers, CMOS password ni kama anti theft feature kwenye laptop kujaribu
kupunguza soko la laptop za wizi.

siyo kweli hata kidogo.
 
Hii sio kweli kwa majority ya
laptops, CMOS psssword haitoki kwa kuondoa CMOS battery wala kwa
jumpers, CMOS password ni kama anti theft feature kwenye laptop kujaribu
kupunguza soko la laptop za wizi.

kila laptop ina sehemu maalum ya ku short kama ni mtu wa electronics soma zaidi circuit
 
Computer nyingi siku hizi huwezi kuondoa bios password mpaka upgshe shoti epprom... Ni very risky
 
kila laptop ina sehemu maalum ya ku short kama ni mtu wa electronics soma zaidi circuit

Jamaa kasema unaweza kuifuta kwa kuchomoa CMOS Battery au kwa kutumia jumpers, hili si kweli kwa majority ya laptops.
Soma reply yangu ya kwanza nimeshamwambia anaweza kupata instruction za kupiga shoti akigoogle.
 
Siku hizi sina wasiwasi, nimeweka bios password nkamalizia na ya window kawaida. Hata akiiba mtu, kutoa bios password na yeye ataingia gharama tuuuu!!!! naikubali sana bios password!!
 
Siku hizi sina wasiwasi, nimeweka bios password nkamalizia na ya window kawaida. Hata akiiba mtu, kutoa bios password na yeye ataingia gharama tuuuu!!!! naikubali sana bios password!!
Ukiweka na ya HD ndo mwisho wa matatizo, hata akichomoa HD hawezi kusoma kitu. Ila uwe na backup ya data zako maana hd ikibuma inakuwa balaa.
 
Jamaa kasema unaweza kuifuta
kwa kuchomoa CMOS Battery au kwa kutumia jumpers, hili si kweli kwa
majority ya laptops.
Soma reply yangu ya kwanza nimeshamwambia anaweza kupata instruction za
kupiga shoti akigoogle.

nadhani kuna kitu hujafaamu, kwa laptop jumper ndio hupigishwa shoti kwa kutumia any conductor.
 
Ukiweka na ya HD ndo mwisho
wa matatizo, hata akichomoa HD hawezi kusoma kitu. Ila uwe na backup ya
data zako maana hd ikibuma inakuwa balaa.

nilicho note kutoka kwako hujui ni nini kinachopigishwa shot, jumper ambazo ni unique for any laptop ndio hupigishwa short
 
nilicho note kutoka kwako hujui ni nini kinachopigishwa shot, jumper ambazo ni unique for any laptop ndio hupigishwa short

Nope. Umekremu kwenye desktop utakuwa, most laptops hazikuruhusu kufuta BIOS password kwa kutumia jumpers.
 
Nope. Umekremu kwenye desktop utakuwa, most laptops hazikuruhusu kufuta BIOS password kwa kutumia jumpers.

hapana kaka, mimi ni fundi wa laptop kwa miaka mingi na matatizo ya laptop nipo vizuri sana, kwenye laptop kuna sehemu mbili kama bridge(jumper) zenye conductor unachofanya unachukua conductor(WIRE) unazigusisha ili ku short, but kwenye desktop jumper zipo open sana kwa mtu yeyote anaweza kufanya na mara nyingi hua label kwenye motherboard ie wanaandika password, pwd nk, ndio hivyo but kwenye laptop lazima uwe very expert sana hasa kusoma circuit ili ku- detect hizo bridge.angalia hii picha hii ni jinsi ya kuondoa kwenye toshiba angalia kwenye huu mchoro nilipoandika reset ndio una shot toshiba l700, l750 and m60.PNG
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom