Tatizo huyo broo wake alimwekea email yake, cjui hata kama ana kumbukumbu za hiyo email maana password tuu kasau, na yeye anasema mpaka aende China.Achana na hiyo michezo.... ni hatari kwa hayo madude, endapo mtu aliye poteza hiyo simu yake akaanza kuisaka... utaishia pabaya...
Na kama kweli ni yako, basi wasiliana nao hao jamaa online, wata kuomba baadhi ya taarifa zako ikiwemo pamoja na imei, emails, n.k ili kujiridhisha .... na hatimaye watakusaidia...
Sio mwizi mkuu nna uhakika nae maana yeye ndio huwa anasafiri kwenda china ndio kamletea rafiki yangu hiyo simu, pia email inaonekana lkn password ndio haikumbuki, na aliifungua kwa email yake kwa kua rafiki yangu hakua na utaalam wowote jinsi ya kuitumia hiyo simuKama email pia huikumbuki huyu rafiki yako kaka yake ni mwizi (samahani lakini)
Analeta janja ya nyani hajui mchezo wa appleUsije fungwa mkuu, simu hizo ni majanga. ..... nina uhakika ni stolen phone, hujasema ukweli.
Si umesema kaiunga kwa email ya kaka yake mwambie ai reset password kwa kutumia hiyo email. Yani aende kwenye web ya apple kwenye forgot password aweke email aliyotumia atatumiwa link ya kureset password via emailHapana mkuu, hiyo simu anayo karibu miaka miwili sasa na huyo kaka yake hua anaenda China. Na ndie alimletea hiyo simu
Hata mimi nimemwambia hivyo mkuu kasema kaka kamwambia Haiwezekani mpaka awapelekee Apple, lkn nimeiangalia inauliza kama umesahau password lkn nimeshindwa kufanya utundu wangu sababu kuna maswali ningeshindwa kujibuSi umesema kaiunga kwa email ya kaka yake mwambie ai reset password kwa kutumia hiyo email. Yani aende kwenye web ya apple kwenye forgot password aweke email aliyotumia atatumiwa link ya kureset password via email
Mimi sio mtumiaji wa hizi simu, yeye kaniambia apple hua na email yake pekee km ilivyo gmail ya playstore, simu anapiga sms za kawaida anatuma na kutumiwa, lkn tatizo hawazi ku update app yoyote na hata whatsapp yake imegomaKama tatizo ni pasword ya email afanye recovery