jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,875
- 10,198
simu ndo nnayotumia now inshort nnayo sema nataka hii id yake itokeama unetapeliwa ama simu si yako
Kuna option gani kaka na inawezekana?Huyo tapeli aisee...!
Online simu ni cheap sana hizo iPhone refurbished zipo kibaoMwenye simu alikua na Million 10 alikua na gari aina ya Range rover ambalo hatujui lilipo hadi leo.
Mdogo ake alikutwa kafariki nae pia alikutwa kafariki..sasa Kwa maelezo hayo alaf wewe ndo umekutwa na simu UNAANZAJE JITETEA?
Duh ndugu umeingia choo cha masokwe aisee hapo ni hatari tupu na uki restore ndo inageuka kopo kabisa hata home screen ndo hutoiaccess. itumia tu ivyo ivyo maana kwa sasa kutoa icloud ni shughuli ya kubahatishaHabari za muda huu wakuu nlikuwa nashida nahitaji msaada wenu,ni kwamba siku ya jana nilipitia pitia kupatana nikakutana na simu ya iphone 5s,nikaipenda but sina idea san na iphone basi nkaonana na maaskaji nkaikagua then nkamlipa but hakulog out account yake ya icloud,kufika home ndo wanaozjua jua iphone ndo wakanambia mistake nloifanya nlivyompigia mahkaji akasema yeye hyo sm alimpaga mdogo wake,hivyo mdogo wake alisahau password,alivyokata sm skumpata tena,je kuna njia gan ya kuweza kulog out,au kudown load vitu msaada tafadhali smu ndo nnayotumia now
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Choo cha masokweee khaaDuh ndugu umeingia choo cha masokwe aisee hapo ni hatari tupu na uki restore ndo inageuka kopo kabisa hata home screen ndo hutoiaccess. itumia tu ivyo ivyo maana kwa sasa kutoa icloud ni shughuli ya kubahatisha