Msaada: Nimekwama application ya NACTE

Msaada: Nimekwama application ya NACTE

salamu kwenu jamaa!!
leo nilikuwa nikimfanyia application (nacte) Mdogo wangu ajabu ile password na email yakufungulia profile hawajatuma kwenye email then nikirudia kuapply tena nakuta ile confirmation code ya M-PESA imeshatumika hivyo mpk mda huu bado sijamchagulia.. nifanye nn ndugu zangu naombeni mawazo yenu

angalia kwenye email mara nyingi msg inakuja kama spam message. so check kwenye spam message. ila ucheleweshwaji huo upo sijui tatizo lao.
 
salamu kwenu jamaa!!
leo nilikuwa nikimfanyia application (nacte) Mdogo wangu ajabu ile password na email yakufungulia profile hawajatuma kwenye email then nikirudia kuapply tena nakuta ile confirmation code ya M-PESA imeshatumika hivyo mpk mda huu bado sijamchagulia.. nifanye nn ndugu zangu naombeni mawazo yenu

Kwenye website yao wana namba za simu ziko kikanda chukua ya kanda ulipo au yoyote itakayo patikana then utaongea nao! Na Mara nyingi huwa hawapokei simu watakubia Tuma sms ya tatizo lako! Watakuhudumia na utaipata hiyo password! Hata Mimi ilinitokeaga hiyo na wakaisolve vizuri tuu
 
Kwenye website yao wana namba za simu ziko kikanda chukua ya kanda ulipo au yoyote itakayo patikana then utaongea nao! Na Mara nyingi huwa hawapokei simu watakubia Tuma sms ya tatizo lako! Watakuhudumia na utaipata hiyo password! Hata Mimi ilinitokeaga hiyo na wakaisolve vizuri tuu
sawa Mkuu!! nashukuru ndugu yangu
 
Jamaani haya malalamiko yaneyoelekezwa nacte itakuwa ya watoto wa f6 maana kusoma hawakutaka sasa wanaisoma number. Vumilieni huko nate ndio mkombozi mwaka huu chezea awamu ya tano!!!
 
Back
Top Bottom