Ukiona unapata tatizo kama ili ukiwa na sim card ya tigo
Tambua kwamba
Unanunua muda wa maongezi online kupitia tigo pesa nk
Wenyewe tigo wanataka kila baada ya 1 mmoja angalau uwe unaweka kifurushi kwa njia ya kufuta vile vikaratasi vya kuchuna hata ukinunua muda wa maongezi wa 500 sim inafunguka sijajua ni kwa nini wanalazimisha wateja tutumie style hii ya kusugua /kufuta vile vikaratasi angalau mara moja moja kwa mwezi 1