Yuyo Ahumile Shamalendi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2018
- 993
- 782
Wakuu salaam,
Kama kichwa cha habari kinavojieleza naomba kujua kutoka kwa wabobezi, madaktari na wataalamu wengine hili suala la mwanamke aliyefanyiwa upasuaji wa uzazi anaweza kufanya tendo la ndoa baada ya muda gani kutoka alipofanyiwa upasuaji
Nakaribisha michango yenu, karibu.
Kama kichwa cha habari kinavojieleza naomba kujua kutoka kwa wabobezi, madaktari na wataalamu wengine hili suala la mwanamke aliyefanyiwa upasuaji wa uzazi anaweza kufanya tendo la ndoa baada ya muda gani kutoka alipofanyiwa upasuaji
Nakaribisha michango yenu, karibu.