Mkufu ni mafanikio...promotion nk.hvo huenda mipango yako ikakwama ..hapo naona shetani kakuletea mganga ili akusaidie. Sasa sijui imani yako ni ya waganga au mungu hapo wewe tu kufanya uamuzi...mimi kwa imani yangu ningekataa ndoto hiyo na kukiri kuwa mambo yangu yatakuwa safi tu ....ningeondoa hofu nakuamini kuwa mungu atanipigania...best wishes
Mh!Mambo uliyokuwa unategemea kufanikiwa mwaka huu yatakwama,usitumie pesa kuwekeza katka biashara yoyote utapoteza pesa zako!Subri mwaka huu upite!