Natumia iphone 7plus Kuna baadhi ya Apps kwenye simu yangu zimeanza kugoma kufanya kazi zikinihitaji ni update kwenda ios 16/17 version nimeingia sehemu ya ku update hamna option ya ios 16 wala iyo 17
Msaada wenu jf techs
Kawaida yangu nanunua simu pale tu ambapo simu ninayoitumia imekufa au imepotea,nilishavuka hatua ya kwenda na fashion kwamba ni upgrade kutokana na toleo
Natumia iphone 7plus Kuna baadhi ya Apps kwenye simu yangu zimeanza kugoma kufanya kazi zikinihitaji ni update kwenda ios 16/17 version nimeingia sehemu ya ku update hamna option ya ios 16 wala iyo 17
Msaada wenu jf techs
Natumia iphone 7plus Kuna baadhi ya Apps kwenye simu yangu zimeanza kugoma kufanya kazi zikinihitaji ni update kwenda ios 16/17 version nimeingia sehemu ya ku update hamna option ya ios 16 wala iyo 17
Msaada wenu jf techs
Kawaida yangu nanunua simu pale tu ambapo simu ninayoitumia imekufa au imepotea,nilishavuka hatua ya kwenda na fashion kwamba ni upgrade kutokana na toleo
Basi sio lazima upate hiyo ios 16 ww baki na famba hilo skuhizi tunawanunulia watoto wachezee chezew kabla hawajajua kitumia simu vizuri. Kiufupi ukitaka uishi vizuri nunua ka android kako ishi nako hayo ma iPhone yana mambo kibao leo imeachwa kwenye upgrade kesho zitazimwa kabisa
Kawaida yangu nanunua simu pale tu ambapo simu ninayoitumia imekufa au imepotea,nilishavuka hatua ya kwenda na fashion kwamba ni upgrade kutokana na toleo
Sawaa mkuu mimi sina pesa ni kapuku moja tu ninayetembea barabarani sina hili wala lile kama una kibarua chochote hata kuzoa taka niite nije kufanya nipate pesa.
Kawaida yangu nanunua simu pale tu ambapo simu ninayoitumia imekufa au imepotea,nilishavuka hatua ya kwenda na fashion kwamba ni upgrade kutokana na toleo