Msaada: Naweza kufika Namibia kwa basi?

Lugeye vipi ulishafika?
 
Duuh mkuu na mpango wa kwenda na nimeshajipanga tarehe sita naondoka. nimesoma maelezo yako nimepaogopa.
 
Duuh mkuu na mpango wa kwenda na nimeshajipanga tarehe sita naondoka. nimesoma maelezo yako nimepaogopa.
Kamanda haogopi pori wewe nenda Namibia kwa ishu yako ukiona wanasumbua vibali nenda Botswana ukipata vibali kazi unapata na hasa kwenye miji midogo ya hizo Nchi kama Fransitown na mengineyo
 
Kamanda haogopi pori wewe nenda Namibia kwa ishu yako ukiona wanasumbua vibali nenda Botswana ukipata vibali kazi unapata na hasa kwenye miji midogo ya hizo Nchi kama Fransitown na mengineyo
Asante saana mkuu. Ukiogopa ogopa hufiki popote.asante kwa kunitia moyo.
 
Sasa kijana, kama hawaruhusu wageni kufanya kazi, unasmaje kwa watz waliopo huko kwenye ajira almost 15yrs ago?

 
Hapo unamaanisha kutoka zambia au Tz mkuu kwa hiyo 150000?kwa hiyo wageni kazi hawaruhusiwi kabisa? Kwako bora mtu aende namibia au botswana.?
 
mkuu ulifika namibia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…