Msaada; Natafuta perfume yenye harufu nzuri

Msaada; Natafuta perfume yenye harufu nzuri

Bulaya001

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2018
Posts
6,116
Reaction score
6,827
wana JF, kuna ile unakutana na mtu yaaan kwa jinsi anavyonukia tu unaanza kuwazia akilini "kama huyu si mtumishi wa bank basi atakuwa plan international ama kwenye wizara flan ivi serikalini" ila baada ya udadisi wa karibu unakuja kugundua kumbe ni mtu wa kawaida tu,

Naitaji kufahamu aina ya perfume murua ambayo nikiitumia itanifanya kuwa mkaka mtanashati ninaye nukia vizuri(itapendeza kama ukisema na bei yake).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom