Msaada: Natafuta mfanyabiashara wa Comoro

luckman

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2010
Posts
1,211
Reaction score
373
Habari wanajamvi,

namomba msaada wa namba ya mfanyabiashara yoyote wa Comoro, anaweza kuwa mtanzania ila anachukua bidhaa Tanzania au akawa mkomoro anayekuja kununua bidhaa hapa Tanzania,
nashukuru sana kwa ushirikiano wenu.

luckman
member JF.
 
Wacha nisubscribe kabisa mwenyewe mimi natafuta mtu anayefanya biashara comoro.

Akija tujuzane mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…