Msaada, natafuta kazi

Msaada, natafuta kazi

Mvumilivu2

Senior Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
107
Reaction score
47
 
uko wapi labda/mkoa gani ili tujuwe unasaidika vp??? n' km kwa kazi ya stationary waweza fanya kwa bei gani
??????:flypig:
 
pole dada yote ni mapito,kuna sehemu nilipita juzi nikasikia wanatafuta mdada wa kufanya stationary so ngoja niulizie kama hawajampata nitaktlink nao.kama unahitaj ni pm.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom