Msaada, natafuta kazi yeyote halali

Msaada, natafuta kazi yeyote halali

Atukuzwe Mungu

Senior Member
Joined
Jan 29, 2018
Posts
198
Reaction score
243
Habarini wanajamvi,
God is good all the time, Kwa jina Naitwa Mathias (27 years) nimemaliza chuo mwaka jana kwa ngazi ya shahada Katika masomo ya sayansi (chemistry and biology), taaluma yangu mimi ni Mwalimu.
Nna uchuzi wa kutumia computer, nna kipawa cha uongozi, communication skills, and problem solving skills.

Tangu nimalize chuo nimekuwa nikifanya online application bila mafanikio yeyote, lakini mpka leo nikitokea nafasi ya kufanya kibarua mimi sichagui nnafanya tu bila kujali hali.

Naamini humu JF kuna watu ambao wapo kwenye nafasi taasisi za kiserikali au mashirika binafsi, hivyo NINAOMBA SANA KAMA KUNA NAFASI YEYOTE KWENYE KAMPUNI LAKO MIMI NIPO TAYARI KUFANYA HAIJALISHI NI NDANI AU NJE YA TAALUMA YANGU.

Huku mtaani maisha ni magumu sana, kushinda bila kujishughulisha kumbe ni kazi ngumu sana, ndipo nimegundua kuwa kumbe tumeumbiwa kufanya kazi sio kukaa tu.

Kama utaguswa na uzi wangu naomba unijulishe kupitia PM, nipo tayari kufanya kazi sehemu yeyote ile Tanzania, ukinisaidia mimi utakuwa umesaidia watu wengi sana nyuma yangu hivyo MUNGU atakubariki sana.

Natanguliza shukrani zangu kwenu
 
Habarini wanajamvi,
God is good all the time, Kwa jina Naitwa Mathias (27 years) nimemaliza chuo mwaka jana kwa ngazi ya shahada Katika masomo ya sayansi (chemistry and biology), taaluma yangu mimi ni Mwalimu.
Nna uchuzi wa kutumia computer, nna kipawa cha uongozi, communication skills, and problem solving skills.

Tangu nimalize chuo nimekuwa nikifanya online application bila mafanikio yeyote, lakini mpka leo nikitokea nafasi ya kufanya kibarua mimi sichagui nnafanya tu bila kujali hali.

Naamini humu JF kuna watu ambao wapo kwenye nafasi taasisi za kiserikali au mashirika binafsi, hivyo NINAOMBA SANA KAMA KUNA NAFASI YEYOTE KWENYE KAMPUNI LAKO MIMI NIPO TAYARI KUFANYA HAIJALISHI NI NDANI AU NJE YA TAALUMA YANGU.

Huku mtaani maisha ni magumu sana, kushinda bila kujishughulisha kumbe ni kazi ngumu sana, ndipo nimegundua kuwa kumbe tumeumbiwa kufanya kazi sio kukaa tu.

Kama utaguswa na uzi wangu naomba unijulishe kupitia PM, nipo tayari kufanya kazi sehemu yeyote ile Tanzania, ukinisaidia mimi utakuwa umesaidia watu wengi sana nyuma yangu hivyo MUNGU atakubariki sana.

Natanguliza shukrani zangu kwenu
Mkuu unahitaji kazi ya ulinzi?
 
Habarini wanajamvi,
God is good all the time, Kwa jina Naitwa Mathias (27 years) nimemaliza chuo mwaka jana kwa ngazi ya shahada Katika masomo ya sayansi (chemistry and biology), taaluma yangu mimi ni Mwalimu.
Nna uchuzi wa kutumia computer, nna kipawa cha uongozi, communication skills, and problem solving skills.

Tangu nimalize chuo nimekuwa nikifanya online application bila mafanikio yeyote, lakini mpka leo nikitokea nafasi ya kufanya kibarua mimi sichagui nnafanya tu bila kujali hali.

Naamini humu JF kuna watu ambao wapo kwenye nafasi taasisi za kiserikali au mashirika binafsi, hivyo NINAOMBA SANA KAMA KUNA NAFASI YEYOTE KWENYE KAMPUNI LAKO MIMI NIPO TAYARI KUFANYA HAIJALISHI NI NDANI AU NJE YA TAALUMA YANGU.

Huku mtaani maisha ni magumu sana, kushinda bila kujishughulisha kumbe ni kazi ngumu sana, ndipo nimegundua kuwa kumbe tumeumbiwa kufanya kazi sio kukaa tu.

Kama utaguswa na uzi wangu naomba unijulishe kupitia PM, nipo tayari kufanya kazi sehemu yeyote ile Tanzania, ukinisaidia mimi utakuwa umesaidia watu wengi sana nyuma yangu hivyo MUNGU atakubariki sana.

Natanguliza shukrani zangu kwenu
Omba hizi nafasi mkuu...

We are searching data collectors for upcoming study in Dar es salaam. Key points to observe:
1). Data collection will happen in Dar es salaam at selected health facilities Temeke, Ilala and Kigamboni starting from october 2019
2). You will interview youth clients after getting services at health facilities
3). Interview will happen daily except weekend and public holiday (i.e 20-22 days per month)
4) Duration is one year from October 2019 to September 2020
5). Monthly allowance is 300,000/- inclusive of transport. No any other payment.
6). You should commit to work for one full year
7) You should be ethical, reliable, no forgery, be honest and hardworker
8). We want to recruit individuals with minimum of certificate level.

This is suitable for one with no job and those seeking volunteering work.

If interested send your cover letter and CV to damaxsolutions@yandex.com

Please dont send any certificate. Sent only CV and cover letter. You should have reliable reference to prove your reliability honest
 
Omba hizi nafasi mkuu...

We are searching data collectors for upcoming study in Dar es salaam. Key points to observe:
1). Data collection will happen in Dar es salaam at selected health facilities Temeke, Ilala and Kigamboni starting from october 2019
2). You will interview youth clients after getting services at health facilities
3). Interview will happen daily except weekend and public holiday (i.e 20-22 days per month)
4) Duration is one year from October 2019 to September 2020
5). Monthly allowance is 300,000/- inclusive of transport. No any other payment.
6). You should commit to work for one full year
7) You should be ethical, reliable, no forgery, be honest and hardworker
8). We want to recruit individuals with minimum of certificate level.

This is suitable for one with no job and those seeking volunteering work.

If interested send your cover letter and CV to damaxsolutions@yandex.com

Please dont send any certificate. Sent only CV and cover letter. You should have reliable reference to prove your reliability honest
Great, asante sana mkuu
Ngoja nijaribu
 
to be jobless is a problem, you have problem while you have problem solving skills... utapata broo usikate tamaa pambana
 
Back
Top Bottom