Msaada: Natafuta ALTEZA

Msaada: Natafuta ALTEZA

mob

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2009
Posts
2,262
Reaction score
1,360
Wakuu

wasalaam

Natafuta Alteza CC.2000

Registration No; C au D
Rangi=Silver
Bajeti yangu ni 7,000,000
 
Mkuu ni kamda sipo Tz aisee

Ahaaaaaaaa.
basi sawaaaaaa.
Sasa hivi tunasimamia D.. mkuu.
Imegundulika watu wa bodaboda na bajaji ndo walikuwa wanamaliza sana plate numbers sasa wao sasa hivi wamepewa namba zao pekee yao zinaanza na M...then AAA
na kuendela.
Wadau watakuwekea picha hapa mda si mrefu
 
Ahaaaaaaaa.
basi sawaaaaaa.
Sasa hivi tunasimamia D.. mkuu.
Imegundulika watu wa bodaboda na bajaji ndo walikuwa wanamaliza sana plate numbers sasa wao sasa hivi wamepewa namba zao pekee yao zinaanza na M...then AAA
na kuendela.
Wadau watakuwekea picha hapa mda si mrefu

Hivi M inasimama kama nini?
 
Nashangaa sana wanunuaji wa magari wananua gari kwa namba/mileage na si ubora!! Mie nashauri nunua gari kwa kuangalia ubora,kuna gari naziona zina namba A lakini bado zipo katika hali nzuri sana kuliko hata hizo D zenu ambazo zinatoka japani zikiwa na grade ya mwisho kabisa au utasikia mtu iwe chini ya km 60000 hawajui town hata ukitaka gari yenye km 5000 unapata lakini akili kumkichwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom