Ndugu, natumia simu aina ya tecno Y3+, nahitaji kujua namna ya kuiweka namba blacklist kwa kutumia simu hii, naweza kufanyaje? Ama mtu akiwa ananipigia cm yake ikate tu.
Ndugu, natumia simu aina ya tecno Y3+, nahitaji kujua namna ya kuiweka namba blacklist kwa kutumia simu hii, naweza kufanyaje? Ama mtu akiwa ananipigia cm yake ikate tu.
Kama hujui unakaa kimya, lengo c kutaka kupigiwa cm na kila mtu, lengo ni kuepuka usumbufu huo kwa baadhi ya watu hasa ninapokuwa katika majukumu yangu.......
Ni simu chache chache sana za tecno zenye option ya kumuweka mtu blacklist hasa hasa za nyuma kidogo.
Hivyo sidhani kama tecno y3+ inaweza kuwa na hiyo option.
Download app ya blacklist playstore itatatua tatizo.
Ni simu chache chache sana za tecno zenye option ya kumuweka mtu blacklist hasa hasa za nyuma kidogo.
Hivyo sidhani kama tecno y3+ inaweza kuwa na hiyo option.
Download app ya blacklist playstore itatatua tatizo.
Sio kwamba haiwezekani mkuu sema tu hizo simu hazina hiyo option ya blacklist cha kufanya we ingia duka la Play store au Google "Blacklist apk" utafute hizo app za blacklist zimejaa nyingi ushindwe ww tu.
Ndugu, natumia simu aina ya tecno Y3+, nahitaji kujua namna ya kuiweka namba blacklist kwa kutumia simu hii, naweza kufanyaje? Ama mtu akiwa ananipigia cm yake ikate tu.
Mkuu apps download co lazima km hutojali copy hio # ya MTU anaekusumbua kutoka kwny lain weka sim contact kabisa,,,,alaf ifungue hio # fungua options za contact utaona block incoming call weka tick.....kazi imeish Enjoy lyf
Mkuu apps download co lazima km hutojali copy hio # ya MTU anaekusumbua kutoka kwny lain weka sim contact kabisa,,,,alaf ifungue hio # fungua options za contact utaona block incoming call weka tick.....kazi imeish Enjoy lyf
Mkuu apps download co lazima km hutojali copy hio # ya MTU anaekusumbua kutoka kwny lain weka sim contact kabisa,,,,alaf ifungue hio # fungua options za contact utaona block incoming call weka tick.....kazi imeish Enjoy lyf