incredible terminator
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 2,533
- 4,290
Habari zenu ndugu zangu wataalamu wa simu za ios ninatumia simu aina ya Iphone 5s ni wiki ya tatu sasa kila ninachokaribu kuinstall inagoma na kuniandikia ujumbe wa ku upgrade ios ila nimeshindwa nimejaribu kutumia hadi WIFI ila inagoma kuingia inaload then inarud kudai nidownload upya, Tafadhari naombeni msaada kwa anaejua namna ya kufanya
Atumie njia ya iTunes ni nzuri sana, OTA mara nyingi huwa inakuja na matatizo mengi sanaIOS update hauwezi kuzidownload bila Wifi, tafuta wifi yenye connection nzuri na kama ni ya bundle basi iwe inatosha kwa hiyo file size. Pia hakikisha una space ya kutosha katika simu.
Njia nyingine ni kuinstall iTunes katika PC kisha kuconnect simu na PC kwa USB kisha tumia iTunes kufanya update, PC yako itahitaji internet connection.
Ndio mkuu ni 5_s kuna tatzo??Simu yako ni 5s ?
Ndo ikoje hiyo mzee babaAtumie njia ya iTunes ni nzuri sana, OTA mara nyingi huwa inakuja na matatizo mengi sana
Nishajaribu hiyo ya WIFI ila inagoma bt kwa sasa nikiingia sehem ya ku update hailet kuwa lazima nitumieWIFI inaandika tu download ila nikijaribu inaload then inarud kawaida kudai ni downloadIOS update hauwezi kuzidownload bila Wifi, tafuta wifi yenye connection nzuri na kama ni ya bundle basi iwe inatosha kwa hiyo file size. Pia hakikisha una space ya kutosha katika simu.
Njia nyingine ni kuinstall iTunes katika PC kisha kuconnect simu na PC kwa USB kisha tumia iTunes kufanya update, PC yako itahitaji internet connection.
Nishajaribu hiyo ya WIFI ila inagoma bt kwa sasa nikiingia sehem ya ku update hailet kuwa lazima nitumieWIFI inaandika tu download ila nikijaribu inaload then inarud kawaida kudai ni download
Nishajaribu hiyo ya WIFI ila inagoma bt kwa sasa nikiingia sehem ya ku update hailet kuwa lazima nitumieWIFI inaandika tu download ila nikijaribu inaload then inarud kawaida kudai ni download
5S ilitakiwa idai ios 11 ndo latest update ya 5s , sasa nashangaa ya kwako inadai os chini ya hapo.. How ?Ndio mkuu ni 5_s kuna tatzo??
Hapo sasa sjui mkuu kiufupi sina ujuzi na Iphone kivile japo ni mtumiaji wa sim ya Iphone5S ilitakiwa idai ios 11 ndo latest update ya 5s , sasa nashangaa ya kwako inadai os chini ya hapo.. How ?