Katika hali ya kawaida kutaka lime isipatikane ni kuzima simu yako. Sasa kama una maana ya kutaka watu wasiweze kukupigia lakini bado uendelee kuwa online, unachoweza kufanya ni ku divert hiyo line kwenda kwenye wrong number, mfano fanya divertion kwenda numher 0000, hapo kila atakayekupigia atajibiwa namba anayopiga sio sahihi