Mkuu Whatsapp wana term na condition zao kwa wateja wao namna gani ya kuitumia bila kuharibu hayo masharti. Kwa swala lako ni lazima kuna violence umefanya kwa kutokujua au makusudi au kuna mtu amekuripoti kwa activity zako ndo maana umefungiwa. Hapo tafuta line ingine then endelea kutumia Whatsapp.