Nyie watu wengine mnachezea sana habari ya kifo kirahisi rahisi namna hiyo...umetafuta kwa makengeza yako na mapupa na wakati simu yenyewe tena kimeo.
Kwanini msiwe mna tulia?? Tena bora ungeandika tu naomba mwenye kuweza kunisaidia kuona jina tungekuelewa kuliko kutukurupusha tukizani alshabab wamekudaka wanataka kukuchinja...hovyo kabisa weye...mmmxxx!!