MUSSA GUETTA
Member
- Oct 11, 2015
- 38
- 2
wadau naomba mnishaur...iv naweza hamia chuo cha
hurbert kairuki bila ya kupitia TCU i mean...niende
moja kwa moja chuon nichek utaratibu..maana hawa
TCU online siwaamin kabisa kwa walichonifanyia kwny
udahili...nina B plain zote na ni PCB...ushaur wenu
wadau...ahsanten
hurbert kairuki bila ya kupitia TCU i mean...niende
moja kwa moja chuon nichek utaratibu..maana hawa
TCU online siwaamin kabisa kwa walichonifanyia kwny
udahili...nina B plain zote na ni PCB...ushaur wenu
wadau...ahsanten