Msaada; nafasi hii ya kazi

Msaada; nafasi hii ya kazi

kinyangesi

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2012
Posts
247
Reaction score
86

  • Habari Ndugu zangu,
    Nahitaji msaada wenu juu ya taasisi hii, Mdogo wangu aliomba nafasi ya kazi 'Voters and Civic Field Education Officer' lakini ametumiwa email kuwa amekosa nafasi, pia amepangiwa kazi ingine. kinachonitia shaka mpaka kuja kuwauliza ndugu zangu ni kuwa anapaswa kutoa kiwango cha fedha ili tu kucertify vyeti vyake. Ni kitu kipya kabisa kwangu, sijawahi kusikia hili. Naomba uzoefu wenu kwa mnaoifaham taasisi hii, kilichonishtua zaidi ni kutuma ela kwa mpesa na tigo pesa(Namba hazijawekwa hapo pia). Nahitaji uelewa wenu pia ushauri wenu maana dogo hana kazi lakini hii imenishtua kidogo. Tangazo la kutuma ela hilo hapo chini.








    Legal.jpg


  • [h=2]2015 Tanzania Democracy Support Project (TDSP)[/h] Please read the information in this sheet, then send your scanned certificates and certification costs as instructed below. Just in case you have missed the deadline we advise you to inform us via this email: inf@activist.com


  • [h=2][/h] Send your Scanned certificates(O-level,A-Level and or College/University) to; Mr Aloyce Shirima. Email: ashirima@consultant.com Along with Certification Costs of Tsh 51,500/= before the mentioned deadline. Please use the details provided ( M-Pesa or TIGO-Pesa to send your certification fee to the mentioned lawyer as instructed, and send him m-pesa/tigo-pesa transaction message just to inform him that you have already completed the required procedure as instructed)Read the following step for Instructions


  • [h=3]Certification Costs (Tsh 51,500/=)[/h] SEND Your Certification Costs to the Independent Legal Consultant, Mr Aloyce Shirima


  • [h=2][/h] M-Pesa : Aloyce Shirima ----


  • [h=2][/h] TIGO-Pesa : Aloyce Shirima



  • [h=2][/h] PLEASE Do Not Call These Numbers, Because it is will be impossible to Respond to all the calls while having other things to attend to

 
hao ni vibaka karipoti polisi kabla watanzania wengine hawajaibiwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom