advocate kiza JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 259 Reaction score 90 Jun 15, 2019 #1 Guys p poleni na majukumu Nina mpango wa kujiunga na sheria ngazi ya cheti katika chuo hichi cha mzumbe Nilikuwa nauliza kwa mwenye uzoefu na mazingia ya pale. Upatikanaji wa materials, upatikanaji wa hosteli, gharama za maisha n,k Ahsanten sana
Guys p poleni na majukumu Nina mpango wa kujiunga na sheria ngazi ya cheti katika chuo hichi cha mzumbe Nilikuwa nauliza kwa mwenye uzoefu na mazingia ya pale. Upatikanaji wa materials, upatikanaji wa hosteli, gharama za maisha n,k Ahsanten sana
M mrregion JF-Expert Member Joined Jul 23, 2018 Posts 464 Reaction score 544 Jun 15, 2019 #2 Ingia mtandaoni acha uvivu. Tafuta prospectus yao
advocate kiza JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 259 Reaction score 90 Jun 15, 2019 Thread starter #3 Sawa
N NAKWEDE JF-Expert Member Joined Aug 1, 2007 Posts 27,972 Reaction score 35,197 Jul 17, 2019 #4 Hivi kuna wafunzi wa cheti pale Morogoro?!!
Mr Confidential JF-Expert Member Joined Jul 1, 2018 Posts 1,545 Reaction score 2,482 Jul 17, 2019 #5 Chuo kipo ndichi sana. Kutoka stendi ya zamani hadi chuoni ni Tshs 900 kwa daladala.
Mzee Saliboko JF-Expert Member Joined Jan 29, 2018 Posts 1,326 Reaction score 1,040 Sep 17, 2019 #6 karibu mvomero maisha yapo simple tu
jdsk Senior Member Joined Apr 10, 2018 Posts 164 Reaction score 270 Sep 17, 2019 #7 Karibi sana mzumbe, material yanapatikana kwa wingi, hostel ndani zipo ukitaka za nje pia zipo, vyakula vipo vingi, njoo utainjoi sana.
Karibi sana mzumbe, material yanapatikana kwa wingi, hostel ndani zipo ukitaka za nje pia zipo, vyakula vipo vingi, njoo utainjoi sana.