SAID MAURID
Member
- Mar 25, 2014
- 54
- 25
Hivi jamani mbona kwenye guide book ya TCU sijaona mwisho wa kuomba vyuo?
Ina maana hamna mwisho au mfumo unakuwaje?
Ina maana hamna mwisho au mfumo unakuwaje?
Kwa kweli sijaiona.ivi jamani mbona kwenye guide book ya tcu sijaona mwisho wa kuomba vyuo au mfumo unakuaje
Hakuna zoezi lisilokuwa na deadline. I hope wataiweka na kuitangaza au sivyo itazaa majanga.Hiyo itakuwa inamaanisha Hakuna Deadline
Sidhani kama wameweka hata kwenye website yao under key deadlines hakuna kitu.Kwenye guidebook hawajandika mkuu.
Haiko kwenye guide book wala web site ya CAS TCU sijui kwa nini hawaliweki hili wazi.soma guide bk
Shukrani sanaDeadline walisema itakuwa one month after commencing of application ,so the truth,deadline ni tar 20.8.2016
You may be right lakini wanatakiwa kuandika tarehe ya mwisho na kwenye CAS upande wa kulia kuna KEY DATES kwa nini wasiliandike hilo?Deadline walisema itakuwa one month after commencing of application ,so the truth,deadline ni tar 20.8.2016
Wewe uliyeona si useme deadline line, wenzako hatujaiona hiyo sehemu.soma guide book
Hakuna deadlineSoma vizur
Chanzo cha taarifa mkuu. Au unatumia uzoefu?Deadline walisema itakuwa one month after commencing of application ,so the truth,deadline ni tar 20.8.2016