Ryoba Warioba
Senior Member
- Sep 1, 2013
- 199
- 170
Ni hayo tu
Hata km orginal inakuwa na betrii za ndani kwa ndani kusema iphone orginal haina betrii sio kweli ila sasa replacement yake mpaka ifunguliwe na watahalam km uko dar pale posta yupo mhindi mmoja anakuuzia na anakuwekeaMi najua original hazina betri,na hata siku moja sijaaikia iphone inatatizo la betri.kwa upeo wangu labda kama sijui vizuri.