PCB sio ushuzi kusema kila mtu anaweza kujamba, hii inatokana na mitaala mibovu iliyowekwa mfano mtu anataka kuwa doctor kuna haja gan kusoma Physics yenye mechanics, current&static electricity yana faida gan kwa huyu mtu?
hivyo basi sikuungi mkono kwenye kusaka possible ila kama ukipata usizipuuzie hakikisha umezisolve
Good luck