Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,936
Habari wakuu,
Kijana wangu wa miezi nane anasumbuliwa na vipele ambavyo vinakuwa na usaha ndani. Vinamuwasha sana kiasi kwamba hawezi kulala na hata akilala basi atastuka muda mfupi.
Kwakweli ni mateso makubwa kwake. Nimempeleka hospitali akapata tiba ya muda mfupi lakini baada ya muda vinarudi.
Naomba msaada wenu wakuu.
Kijana wangu wa miezi nane anasumbuliwa na vipele ambavyo vinakuwa na usaha ndani. Vinamuwasha sana kiasi kwamba hawezi kulala na hata akilala basi atastuka muda mfupi.
Kwakweli ni mateso makubwa kwake. Nimempeleka hospitali akapata tiba ya muda mfupi lakini baada ya muda vinarudi.

Naomba msaada wenu wakuu.