Kama hayamletei homa huyo hana tatizo lolote,ni hali ya hewa ya joto tu inamsumbua.
Hakikisha analala sehemu yenye feni (zaidi feni ya juu) au ac mda mwingi.
Hakikisha anashinda na kulala na nguo nyepesi kabisa.
Mtoto aogeshwe kabla ya kulala na akitoka kulala.
Nakuhakikishia tatizo litakua historia.
Mimi nae wangu alikua hivyo hivyo lkn baada ya kupata ushauri wa dokta mzuri tatizo liliisha kabisa.