Je, anakaa mwenyewe aamkapo au unamkalisha? Kama anakaa mwenyewe usimhangaishe. Atatembea siku si nyingi. Watoto wana vituko vyao. Wapo ambao huketi tu, wakisimama tu huondokea mbele kwa mbele tena mbio, hawatambai. Wapo wengine hutambaa speed ya ajabu na wakisimama hakuna tena kutambaa. Usiogope, muda wake bado.
Swali; Je, umechepuka kidogo?? Wengine wanasema ati kanyonyea maziwa ya mwenzake. Hata ukipimwa na kuonekana una mimba ya mume/babake. Endelea kumnyonyesha mtoto hadi mwezi kabla hujajifungua. Ila, lishe yako iwe nzuri tu