wakuu nisaidieni nina memory ya gb 8 ila tatzo imeharibika inaniandika MEMORY IS BLANK najaribu kuERASE lakini inagoma haisomi hata kwenye simu kwamba ipo
nifanyeje ama.nitumie app gani????
Download application kweny pc inaitwa memory recovery. Tafuta card reader ichomeke memory. Run hyo application. Unaweza kuangalia totorio kwenye yutyub namna ya kuitumia hyo application
Download application kweny pc inaitwa memory recovery. Tafuta card reader ichomeke memory. Run hyo application. Unaweza kuangalia totorio kwenye yutyub namna ya kuitumia hyo application
wakuu nisaidieni nina memory ya gb 8 ila tatzo imeharibika inaniandika MEMORY IS BLANK najaribu kuERASE lakini inagoma haisomi hata kwenye simu kwamba ipo
nifanyeje ama.nitumie app gani????