Wanajamvi Kuna kitu kinanichanganya kichwa toka jana.
Nimejisajili jana tcu ili nipate kuapply chuo. Nikalipia pesa nikaletewa transaction ID vizuri tu. Nikaji register nikajaza baadhi information zangu Lakin sikuchagua vyuo nika log out ili nije nilog in kuendelea na kumalizia kujaza vyuo.
Lakini kila niki login inakataa nikaamua kureset password lakini napo inagoma naambiwa hawaitambua transaction ID wakati ndio niliitumia kujisajili.
Nikaamua kuchukua namba zao ili niwapigie lakini hawapatikani.
Mpaka sasa niko dilemma kwa wale wenye uzoefu na mambo haya naombeni msaada wenu jamani...
Nimejisajili jana tcu ili nipate kuapply chuo. Nikalipia pesa nikaletewa transaction ID vizuri tu. Nikaji register nikajaza baadhi information zangu Lakin sikuchagua vyuo nika log out ili nije nilog in kuendelea na kumalizia kujaza vyuo.
Lakini kila niki login inakataa nikaamua kureset password lakini napo inagoma naambiwa hawaitambua transaction ID wakati ndio niliitumia kujisajili.
Nikaamua kuchukua namba zao ili niwapigie lakini hawapatikani.
Mpaka sasa niko dilemma kwa wale wenye uzoefu na mambo haya naombeni msaada wenu jamani...