Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,417
- 7,731
Habari zenu wana jf. Nina tatizo la maumivu ya kiuno hasa nnapokua nafanya kazi inayonlazimu kuinama kwa zaidi ya dakika 15 baada ya hapo naskia maumivu ambayo yamaweza kuendelea kuuma mpaka ntakapolala au kuisha baada ya saa kadhaa, naomba kujuzwa nina tatizo gani, kwenu madokta wa jf mnijuze.