hilohilo
New Member
- Feb 15, 2019
- 4
- 0
Naomba msaada kwani Mimi nasumbuliwa namaumivu ya kiuno mpaka chini ya tako kuelekea kwenye mguu tatizo huwa nini na matibabu yake dawa gani naweza kutumia
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app